MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???
MME: Hapana mke wangu, sema kingine
MKE:unaweza kunipa nione watsapp yako nione msgs?
MME: Haya sema huyo simba yukwap nikamuue
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!
😂 Hii ni ya kuhifadhi!
Hii ni joke ya maana sana! 😂👌
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆