Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣
😅😊😂👏
Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂
🤣🤣👏😆
🤣 Sikutarajia hiyo!