Mtoto: Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo najinyonga.
Baba: Huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shuleni kwahiyo kama unajinyonga utapunguza Bajeti, kopa Kamba dukani kwa Mangi nitalipa nikija kuchukua Maiti yako, Mungu akulaze mahali pema peponi Mwanangu…..
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Umetisha! 👌😂
Huyu alikuwa na point! 😂👌
🤣 Hii imewaka moto!
😂😂🤣
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂