Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem’bana akawa anafurukuta bila mafanikio Cha ajabu watu wakawa wanampita bila kumsaidia, Kumbe Nyuma ya Bajaji yake alikua Kaandika “NIACHENI KAMA NILIVYO, HII NDIO STYLE YANGU” 😂😂😂 Mpaka sasa nimemwacha bado yuko hapo *Sipendagi Ujinga mimi* 🚶🏽🚶🏽🚶🏽🚶🏽🚶🏽
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆
😄 Umeshinda mtandao leo!
Nimecheka hadi nimesahau shida! 🤣😆
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣