Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
🤣 Ninaituma sasa hivi!
Hii imenifurahisha sana! 🤣😊
🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂
Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂