Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Sarah Karani

🤣 Ninaituma sasa hivi!

John Kamande

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Mwachumu

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nchi

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

Rose Kiwanga

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop