Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem’bana akawa anafurukuta bila mafanikio Cha ajabu watu wakawa wanampita bila kumsaidia, Kumbe Nyuma ya Bajaji yake alikua Kaandika “NIACHENI KAMA NILIVYO, HII NDIO STYLE YANGU” 😂😂😂 Mpaka sasa nimemwacha bado yuko hapo *Sipendagi Ujinga mimi* 🚶🏽🚶🏽🚶🏽🚶🏽🚶🏽
By: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi
Mipango ya mke na mume ya pasaka