Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;
MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
🤣 Ninaituma sasa hivi!
😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!
Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌