1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.
2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.
3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?
4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.
5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.
6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.
7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.
8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.
9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.
10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
I’m so happy you’re here! 🥳













































































😂😅
😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
“.yani mtu unakuta nimevaa vizuri
:badara uniambie nduguyangu
=umependeza
.unakuja kuniambi
.ET UMEULAMBAA
WEWE nimeulamba mnini..
naulishawahi kuniona naulamba wap nanani alikwambia mimi naulamba
umeona naishara gani paka ukasema nimeulamba nimeramba kinini umeona mimi ndo wakuulamba mimi kwel au ww unaesoma ndohuwa unaulamba
aaaa badilisheni kali bwana a
(abu me by )
😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Hii ni bomba sana! 🤣👍