Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema “hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!
Mlevi wa pili akamnyang’anya kisha nae akaangalia kioo akasema “wee kweli huna akili, si mimi huyu? halafu unajidai hunikumbuki …!!!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂
😄😅👏😂
😂🤣
😄 Umeimaliza kabisa!
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊