Kuna mtu kanikera et nmemkubalia urafiki Leo tu Facebook anataka kujua kabila langu
Bac akajifanya mjanjaa et akaniuliza mbu kwenu mnawaitaje
Mimi nkamjibu hatuwaiti wanakujaga wenyewe
😂😂😂😂😂😂😂
Si kwamba cjamuelewa ila sipendagi Ujinga Mimi
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Asante Ackyshine
😊🤣🔥
😅😂👌😊