Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu.
”Nimesema stakii,stakii tena unikome”😳😳
Nami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vile
”Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?”☹
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO
Sipendag ujuinga mim
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😄 Umenishika vizuri!
😄 Kali sana!
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂
😂 Lazima nihifadhi hii!
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆