Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla
akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti
akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya
kimahaba
“Honey kama upo nyumbani umelala naomba unitumie ndoto
zako,
Kama unakula nitumie chakula, Kama unacheka nitumie kicheko
chako,
Kama unalia nitumie machozi yako,Kama unatoa pesa kwenye
A.T.M nitumie pesa.” Boyfriend akajibu “NIKO CHOONI LABDA
NIKUTUMIE KINYESI MPENZI!!

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Frank Sokoine

😂😅

Alice Jebet

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Peter Mbise

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Mgeni

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Carol Nyakio

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop