Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake frank ambaye ni kipofu, akamkaribisha ndani akakaa, dem kavua ile kanga akabaki uchi akainama akaanza kujipaka mafuta akijua frank hamuoni na mazungumzo yakawa ni Haya..
DEM: VIPI FRANK MBONA UMEPOTEA YAANI HUONEKANI SIKU HIZI..?
FRANK: AH NILIENDA INDIA KUFANYIWA OPERESHENI YA MACHO SASA HIVI NAONA VIZURI KABISA!…
😂😂😂
🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😄 Umenishika vizuri!
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
😂🤣😆
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉