MUME: Mke wangu naomba nikubusu
MKE: Sitaki
MUME: Ntakununulia pete ya gold
MKE: Staki
MUME: Ntakununulia gari
MKE: Sitaki….mtoto wao aliyekuwa kalala alisikia haya maneno ya mwisho
MTOTO: Baba basi nibusu mimi uninunulie baiskeli
BABA: Pumbafu lala huko mjinga mkubwa
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂👌😆😊
😆 Naihifadhi hii!
😅 Nilihitaji hii!
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🤣
Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌