Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm.
Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- “Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na FANTA BARIDII, CHIPS na MISHIKAKI kutwa mara 2 kwa siku 30.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂 Nimeipenda kabisa hii!
😅 Bado nacheka!
Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! 😄😂
😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!