Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm.
Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- “Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na FANTA BARIDII, CHIPS na MISHIKAKI kutwa mara 2 kwa siku 30.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
๐ Nimeipenda kabisa hii!
๐ Bado nacheka!
Hii imenikumbusha enzi zile! ๐ ๐
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐๐
๐ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!