JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?
Mpenzi msomaji, kumekuwa na tuhuma nyingi dhidi ya wakatoliki kwamba wanaabudu sanamu. Je, tuhuma hizo …
JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU? Read More »
Read More Β»Mpenzi msomaji, kumekuwa na tuhuma nyingi dhidi ya wakatoliki kwamba wanaabudu sanamu. Je, tuhuma hizo …
JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU? Read More »
Read More Β»Ishara ndogo ya Msalaba juu ya panda la uso, mdomo, na kifua kabla ya Injili ina maana gani?
Maana yake ni kama Ahadi kuwa, Niko tayari kulifahamu Neno la Mungu kwa akili yangu, Nitalitangaza kishujaa kwa Midomo yangu, Nitalipenda na kulishika kwa Moyo wangu wote.
Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani?
Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema
Ninapoingia kanisani nachovya maji ya baraka na kusema;“Unitakase Ee Bwana mimi na uovu wangu wote, …
Utaratibu wa Mkristo Mkatoliki Kanisani Read More »
Read More Β»Ishara ya msalaba ni nini?
Ishara ya Msalaba ni tendo la mtu kugusa panda la uso, kifua na mabega kwa kutumia mkono wa kulia na kutamka βKwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu, Aminaβ