Siri ni hii, Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza. Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu. Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu. Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.
Kujikabidhi Kwa Yesu Kristu Yeye Aliye Mwangaza Wa Maisha
Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza
Giza na Mwanga havichangamani. Yesu hakai pamoja na uovu.
Giza haliwezi kuzidi Mwanga. Uovu hauwezi kumzidi Yesu.
Mwanga ukija giza linaondoka. Yesu akija uovu unakwisha.
Yesu Kristu ni mwangaza wa maisha yetu, akiwepo giza lote hutoweka.
Yesu akiwepo hakuna haja ya kufukuza giza bali giza litatoweka Lenyewe.
Unapomkaribisha Yesu katika maisha yako umekaribisha mwanga katika maisha yako na utashinda dhambi na uovu kwa kuwa Yesu aliye mwanga atavifutilia mbali.
Kikubwa ni kumkaribisha Yesu katika maisha yako na kumruhusu atawale Maisha yako na kila kitu katika maisha yako. Ukiweza kuachilia yote kwa Bwana Yesu na kumpa maisha yako basi utashinda uovu/dhambi. Vile unavyojiweka karibu na Yesu ndivyo unavyoshinda dhambi na uovu wote.
Kumkabidhi Yesu Maisha ni Kuamua kuishi kulingana na Mafundisho yake, kuachilia yote katika maongozi yake, kumshirikisha Yesu kwenye kila kitu katika maisha yako na Kuwa mkweli na muwazi mbele ya Yesu katika kila kitu.
Unapomkabidhi Yesu Maisha yako na vyote ulivyonavyo yeye huyatakatifuza na kuyafanya yawe kama yanavyotakiwa kuwa kitakatifu.
Changamoto kubwa kwa Wakristu ni kushindwa kujiweka Mikononi mwa Yesu kwa kuachilia yote na kukabidhi yote kwake. Wengi wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu ya ubinafsi na uchu wa kusimama wenyewe. Wengine wanashindwa kwa sababu ya kukosa Imani. Hawana uhakika kwamba wanachokifanya wanakifanya kweli.
Lakini ukiweza kweli kumkabidhi Yesu Maisha yako, kila kitu kinakua sawa na utafanikiwa kwenye kila kitu. Utaanza kuona unashinda uovu na dhambi kulingana na vile unavyojikabidhi na kujiachilia kwa Yesu.
Anza leo kujikabidhi kwa yesu kwa kiasi kile unachoweza. Yesu anaelewa ubinadamu na madhaifu yetu. Atakusaidia. Hata kama kuna wakati unaweza kujikabidhi kwake na kisha unaanguka tena, yeye ni mwenye huruma na ni mwelewa haswa kuhusu hali yako, atakusaidia na kukuwezesha. Weka nia ya kujikabidhi kwake na kisha utaendelea kidogo kidogo mpaka utajikuta umejikabidhi mikononi kwake kabisa.
KUMBUKA: Yesu ni Mwanga na Uovu ni giza, mwanga ukiwepo giza halibaki linaondoka. Hata siku moja Giza haliwezi kuuzidi mwanga
Uwe na Imani basi, Mtumainie Yesu Kristu atakushindia uovu.
Yesu ndiyo dawa ya uovu na dhambi, kila unapoanguka dhambini mkimbilie yeye naye atakusamehe na kukuwezesha kushinda dhambi na uovu. Usichoke, kila siku jaribu na kujaribu mpaka utashinda.
Nami nakuombea kwa Jina Takatifu la Yesu, Akushindie Uovu na dhambi
Mungu ni mwema, wakati wote!
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Sifa kwa Bwana!
Mwamini Bwana; anajua njia
Sifa kwa Bwana!
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Katika imani, yote yanawezekana
Tumaini ni nanga ya roho
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Mwamini Bwana; anajua njia
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Nguvu hutoka kwa Bwana
Neema ya Mungu inatosha kwako
Mungu ni mwema, wakati wote!
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nakuombea 🙏
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Neema na amani iwe nawe.
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Dumu katika Bwana.
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Rehema hushinda hukumu
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Rehema hushinda hukumu
Rehema zake hudumu milele
Imani inaweza kusogeza milima
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Mungu akubariki!
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Katika imani, yote yanawezekana
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Mungu akubariki!
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Endelea kuwa na imani!
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Tumaini ni nanga ya roho
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Dumu katika Bwana.
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Nguvu hutoka kwa Bwana
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
Endelea kuwa na imani!
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Mwamini katika mpango wake.
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Neema ya Mungu inatosha kwako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Nakuombea 🙏
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Rehema zake hudumu milele
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Baraka kwako na familia yako.
Neema na amani iwe nawe.
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Mwamini katika mpango wake.
Baraka kwako na familia yako.
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
Imani inaweza kusogeza milima
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi