Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Vile unavyotaka akutendee mtendee vivyo hivyo.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Huwezi kusema unampenda Mungu usiyemuona kama huwapendi watu wale unaowaona. Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Vile unavyotaka akutendee mtendee vivyo hivyo.
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Mwamini Bwana; anajua njia
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Ahadi za Mungu ni za kweli daima