Upendo wa kweli hauambatani na chuki. Huwezi kusema una Upendo wakati kuna watu wengine unawapenda na wengine unawachukia. Ni sawa na kusema kitambaa ni cheupe lakini kina madoa doa, maana yake sio cheupe.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Katika imani, yote yanawezekana
Tumaini ni nanga ya roho
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao