Usiache kusali na kutenda mema kwa kuwa huwezi jua ni watu wangapi wanategemea sala na matendo yako mema. Kumbuka Mungu alimwambia Abraham kama akikuta Wacha Mungu wengi hataiharibu Sodoma na Gomora. Vivyo hivyo Inawezekana wapo watu wengi wanaonufaika na Sala na matendo yako, hasa watu wako wa karibu uwapendao. Unapokuwa mtu wa Sala na mcha Mungu unabarikiwa wewe na wale wa karibu yako. KAMWE USIACHE KUMCHA MUNGU NA KUSALI. Ukiwa mregevu ni sawa na unakata Mnyororo wa Baraka za Mungu kwako na wenzako.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
Katika imani, yote yanawezekana
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia