Inashangaza kwa sasa watu wengi hawapendi kuambiwa kuhusu kutubu dhambi zao bali wanataka waambiwe watabarikiwa. Kama vile wewe huwezi kumvika mwanao nguo nzuri kabla ya kumuogesha vivyo hivyo na Mungu hawezi kukubariki kabla ya kukutakasa. Unapotubu unasamehewa na kutakaswa dhambi zako kisha unakua umefungua milango ya baraka. Huwezi kubarikiwa bila kutubu kweli.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
Sifa kwa Bwana!
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote