Kufanya Mambo mema ndipo kunaleta furaha ya kweli kwa Binadamu yeyote yule. Hakuna Binadamu anayefurahia kufanya maovu. Mema hayaambatani na majuto lakini uovu wowote unamajuto. Hata waovu wanafanyiana mema ili wapate furaha.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Rehema zake hudumu milele
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi