Kufuatia vitendo vibaya vya mauaji ya Albino, vilivyozuka
Tanzania tangu mwaka 2007 hadi sasa, Serikali imechukua
hatua kadhaa kurekebisha hali hiyo. Hatua hizo ni pamoja
na:
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafyta na kuwakamata wauaji
wa aalbino.
โข Kumteua Albino kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Wanawake.
โข Kutangaza hadharani kuwa mauaji haya siyo utamaduni
โข bali ni uhalifu mbaya ambao lazima uchukuliwe hatua za
kisheria.
โข Kutaka mikoa yote watangaze majina ya watu wote wanahusika
na mauaji haya.
โข Kuliagiza jeshi la polisi kuwatafuta na kuwakamata
wauaji wa Albino.
โข Kuanzishwa kamati maalumu ya mahakimu ili kuharakisha
hukumu za wauaji.
โข Viongozi wa juu wote wanalaani vitendo hivi katika mikutano
ya hadhara na matukio maalumu kama wakati wa mbio
za Mwenge wa Uhuru mwaka 2009.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Recent Comments