Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣🤣👏😆
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣
Napenda jokes zenu! 😊😅
😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!