Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita tangazo kama ifuatavyo:
Ndugu wasafiri wote, ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa Kitanzania.
Baada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chake
Walipomuuliza ni kwanini hakuondoka akajibu kwa haraka na furaha kuwa:
Kama ndege hii imetengenezwa na watanzania, hata kuwaka haitawaka!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😆 Naihifadhi hii!
Nimefurahia sana hii joke! 😅😂
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊