MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujasoma ni kiasi gani hicho cha fedha na mbaya zaidi hujagundua kwamba katikati ya namba hizo kuna herufi A… safi sana, najua umeangalia tena kuiona hiyo herufi, bahati mbaya hujaiona. 😜😜😜😜😜😜😜
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
😂🤣😊😅
😂 Hii ni ya kuhifadhi!
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
😂😂🤣