Zuzu kaniuliza, “Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana.”
Nikashtuka, “Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!”
Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. “Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti.”
Nikashusha pumzi. “Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!”
Zuzu akanitupia swali. “Kwani we anko ulidhani nini?”
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kweli mna ucheshi! 😂🤣
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂
Hii joke ni ya kufurahisha! 🤣🤣
😆 Siwezi kuacha kucheka!
😂😂