Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swaumu 2000, Vitunguu maji 1000, hiliki 1000, Magome 1000, Michele wa 2000, Soda 3000, Nyama 5000 . Fedha hizi zitatumika kununua mfuko wa cement ili tuanze kujaza kibubu cha ujenzi wa nyumba badala ya kupanga. Karibuni saana maji ya kunywa tumechemsha ndoo nzima.
🎀✨Marry Xmas & Happy new year.✨🎀
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Umesema kweli! 👌😂
Hii imenikuna! 😆😊
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂