Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama ukushiba ungesema
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi machozi ๐คฃ๐ญ
๐ Kichekesho gani!
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
๐ ๐๐๐
๐๐ ๐