MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac watu wakaanza kutoa 50,000/= 30,000/= na 20,000/=.
Kuna jamaa akatoa 500/=.
MCHUNGAJI akamuita ofisin akamuuliza.
MCHUNGAJI:Ina maana mkeo siyo mzuri?. Jamaa akajibu: Ukimuona utanirudishia na chenji.
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂
😁 Hii ni hazina ya kichekesho!
🤣😭😆
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅