Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME – mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.
MKE – nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅
😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
🤣 Hii imewaka moto!
Hii imenifurahisha sana! 😊😅
😆😂👏