Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂
😄 Kichekesho gani!
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂
Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏😆