Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila nikionja bado ina chumvi. Mwenzake akacheka sanaaaaaa akamwambia. Hujakoroga!!!!😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍
😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂