Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.
Siku ya 2
akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50
akapiga chochoro za kutosha kisha
akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban
baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke
wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu
tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu
mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! 🎉
Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊
kwa kweli hii ni kali😂😂😂😂