Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile hitakua imembeba rais kichaa mwenzake akajibu hapana ile imebeba wazungu kama ingekuwa imembeba rais ungeona mapikipiki mbele
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜
😆 Hiyo punchline!
Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌
Hii imenifurahisha kweli! 😆😂
Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆