CHEKA KIDOGO
Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.
MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.
WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.
WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:
We vp unatatizo gani mbona unalia???
AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni “umbea” haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!
😂😂😂😂😂👆🏻😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜
😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!
🤣🤣👏😆
😃 Hali imeboreshwa papo hapo!
Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂