Wiki hii kwenye urembo tutaongelea mboga aina ya bamia jinsi inavyotibu chunusi na kuziondoa moja kwa moja. Mbali na chunusi, pia husababisha ngozi kuteleza na kuwa nyororo.
JINSI YA KUFANYA
Chukua bamia zikatekate vipande, ziweke kwenye brenda kisha chukua limao kipande na maji kidogo, weka kwenye brenda kisha saga. Baada ya kupata mchanganyiko wako upake usoni mpaka kwenye shingo, acha kwa muda likauke kisha bandua kama unavyoondoa maski nyingine usoni.
FANYA HIVI SIKU TATU KWA WIKI ITAKUSAIDIA KUONDOA CHUNUSI.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Tiba mbadala ya chunusi na vipele usoni
Faida za kuogea maji ya Moto
Faida na namna ya kutumia mafuta ya Zaituni Olive Oil kwenye nywele
Mambo ya Kuzingatia ili uwe mrembo siku zote
Jinsi ya Kujiremba na Kuboresha ngozi yako kwa kutumia Matunda
Madhara ya Kuvaa viatu virefu
Madhara ya Kujichubua
Jinsi ya kuchagua rangi sahihi wakati wa Kujipodoa