Mama Bikira Maria alitoa ahadi 15 kwa yule au wale watakaosali Rozari takatifu kila siku. Ahadi hizi aliwapa Mtakatifu Dominic na mwenye heri Alan de la Roche. 1. Yeyote yule atakayesali kwa imani rozari hii takatifu atapokea neema kuu zenye nguvu 2. Naahidi ulinzi wa kipekee na neema za kipekee…
Tag: Katoliki: Rozari Takatifu
Historia Fupi ya Ibada ya Rozari
Katika Kalenda ya Kanisa Katoliki,huwa mwezi wa tano na mwezi wa kumini miezi ambayo imewekwa kwa ajili yaBikira Maria na Mama Kanisa. Hivyohiyo miezi huwa inasaliwa rozari.Wengi waweza kujiuliza kuwa ni kwanini ifanyike miezi hiyo? Yafuatayo nimajibu, mwezi wa tano umewekwa kwaheshima ya Bikira Maria kutokana nanini kilitokea katika historia…