Tunatambua Maandiko Matakatifu kati ya maandishi yote ya binadamu kwa njia ya Mapokeo, yaani kwa sababu yametumiwa na Kanisa tangu mwanzo kwa kulisha kwa hakika imani yake.
Tag: Katoliki: Mapokeo ya Kanisa Katoliki
Maswali na Majibu kuhusu Mitume
Mapokeo ya Mitume ndiyo nini?
Mapokeo ya Mitume ndiyo yale yote ambayo Yesu aliwakabidhi Mitume wake, na kwa uwezo wa Roho Mtakatifu yatadumu hata mwisho wa dunia katika mafundisho, liturujia na maisha ya Kanisa.
Mafundisho na mapokeo Katika Kanisa Katoliki yanapopatikana kwenye Biblia
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki. 1) KUOMBEA MAREHEMU:2 Mak. 12:38-46Hek. 3:1Tob 4:17 2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI2Fal 3:20-21Hes. 21:8-9Kut. 25:17-22Kol. 1:20, 2:14Yn. 12:32Mt. 19:11-12 3) USAHIHI…
MITAGUSO MIKUU YA KANISA KATOLIKI
MITAGUSO MIKUU Yesu Kristo aliwakabidhi mitume kumi na wawili uongozi wa Kanisa wakiwa kundi moja lenye mkuu wake, yaani Petro. Vilevile waandamizi wao, yaani maaskofu wote, ni kundi moja na Papa wa Roma ndiye mkuu wao. Huyo peke yake, na kundi la maaskofu likiwa pamoja naye na chini yake, ndio…
Asili na matumizi ya Neno “AMINA” kama kiitikio muhimu katika Liturujia
Kiitikio hicho tunakifahamu sisi sote; tunaitikia mara nyingi lakini je, tunaelewa umuhimu wake? Binafsi nikichunguza wakati wa maadhimisho mbalimbali ya Liturujia hasa Adhimisho la Ekaristi, ni baadhi tu ya waamini wanaoitikiaAmina sehemu mbalimbali wakati wa Misa. Waamini wengine huitikia kwa sauti ya kuungama dhambi na wengine hawaitikii kabisa. Asili yake Kwa asili Amina ni neno…
Mafundisho (Dogma) ya Kanisa Katoliki kuhusu Bikira Maria
Kuna mafundisho makuu manne kumhusu Bikira Maria ambayo ni lazima kila Mkatoliki ayasadiki kutokana na ufunuo wa Mungu: 1. B. Maria mkingiwa dhambi ya asili 2. B. Maria Mama wa Mungu 3. B. Maria Bikira daima 4. B. Maria kupalizwa mbinguni mwili na roho Mkingiwa Dhambi ya Asili Malaika alimsalimia…
JE IMANI AU MAPOKEO YA KANISA KATOLIKI YANAPATIKANA KATIKA BIBLIA?
Wakatoliki wengi huyumbishwa kwa kuambiwa huamini mambo ambayo hayako au ni kinyume na Biblia. Aya zifuatazo zitakusaidia wewe mkatoliki kuelewa au kujua mistari ya Biblia inayofafanua imani katoliki. 1) KUOMBEA MAREHEMU:2 Mak. 12:38-46Hek. 3:1Tob 4:17 2) MATUMIZI YA SANAMU NA VISAKRAMENTI2Fal 3:20-21Hes. 21:8-9Kut. 25:17-22Kol. 1:20, 2:14Yn. 12:32Mt. 19:11-12 3) USAHIHI…