Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwake. Tunaposali leo Mungu anatusikia na kujibu leo, kesho au hata miaka kumi ijayo. Inawezekana hata baraka zako za leo ni majibu ya Sala zako miaka kumi iliyopita. Sali bila kuchoka kwani hujui Sala zako zitakusaidia lini. Usitegemee majibu ya Sala zako wakati huo huo, amini katika uaminifu wa Mungu kwani anajua lini ni siku sahii ya kukujibu.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Baraka kwako na familia yako.
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe