Kama yalivyo maisha ya kimwili, maisha ya kiroho pia yanahitaji mipango. Kila siku panga utafanya nini kiroho, mfano unaweza kupanga sala, kusaidia masikini, kuwa mpole au mwema. Vivyo hivyo kila wiki, kila mwezi na kila mwaka mpya panga cha kufanya kiroho naye Mungu atakubariki na kukupangia zaidi. Huwezi kufanikiwa kiroho kama hujui unafanya nini kiroho.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Neema ya Mungu inatosha kwako
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote