Usiogope wala usisite kutubu na kuomba msamaha kwa Mungu. Uwe na Amani na Matumaini katika Huruma ya Mungu itokayo katika Upendo wake wa Mfano wa baba awapendavyo wanawe. Mungu anasubiri kukupokea kwenye mikono yake Ili akutunze kama mtoto wake kama utatubu na kumrudia yeye. Amua kumwendea leo! Anakungoja ni wewe tuu…
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nakuombea 🙏
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni