Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake. Nia ya mtu ndiyo inayoonyesha mtu alivyo.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Mungu haangalii matemdo ya mtu ya nje tuu, bali anaangalia ndani kabisa mawazo ya mtu na nia yake. Nia ya mtu ndiyo inayoonyesha mtu alivyo.
Kwa Mungu, yote yanawezekana
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
Neema na amani iwe nawe.
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida