Pombe ina tabia ya kufanya ubongo kushindwa kufikiri, na
kushindwa kujizuia na vishawishi vya kufanya mapenzi. Pombe
huwafanya watu kustarehe, kuwa wazembe na kushindwa kutoa
maamuzi ya busara kutokana na kutojali. Ndiyo maana kuna
uhusiano sana kati ya maambukizo ya VVU na ulevi wa kupindukia.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Recent Comments