Dawa nyingine madhubuti ya chunusi ni papai. Tunda hili ni moja ya matunda yanayotumika kwa ajili ya urembo hasa kwa wanawake.
Chukua papai na uchanganye na asali kidogo, likoroge kidogo na ujipake sehemu yenye chunusi moja kwa moja kwa dakika 15 hivi hivi kisha jioshe uso wako na maji ya moto kisha malizia na kujisafisha na maji baridi mra baada ya kutumia maji ya moto.
Fanya zoezi hili mara 2 mpaka 3 kwa wiki.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Mbinu 11 za kufuata ili uweze kuacha pombe
Sababu ya tatizo la Tumbo kujaa gesi na jinsi ya kujitibu
Faida 14 za kufunga chakula
Mambo ya msingi kujua kuhusu ugonjwa wa ngiri
Kutibu chunusi kwa ute mweupe wa yai
Mambo ya Muhimu kuyajua kuhusu maumivu ya Korodani
Faida za kula ukwaju
Sababu za Magonjwa ya Figo na jinsi ya kujikinga