Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta jamaa anaosha vyombo kwa MAMA NTILIE.
Girlfriend akamuuliza jamaa “beby vipi mbona uko hapa?” Jamaa bila woga akajibu “NIPO FIELD.
Wanaume hatupendi ujinga sisi 😠😠😠
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😂 Lazima nihifadhi hii!
😄😅👏😂
😂 Nitaiiba hii bila shaka!
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
Hii imenibamba sana! 😂😅