Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😆 Naihifadhi hii!
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
Hii imenikuna! 😆😊
Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆
😂 Hii ni ya kuhifadhi!