MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako
MKE akamnong’oneza mume wake na kumwambia mbona mimi nayafahamu yote, ndio maana nimekupa sumu ili na wewe ujue uchungu wake. JE NANI ZAIDI?
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Kweli mna ucheshi! 😂🤣
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣
😅 Bado nacheka!
🤣 Hii imenigonga vizuri!
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏