Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ipi? Sakramenti inayokamilisha ubatizo na kipaimara ni ekaristi, iliyo kuu kuliko sakramenti zote kwa sababu ndiyo Yesu mzima, Mungu-mtu, katika maumbo ya mkate na divai. Sisi ambao tulishiriki kifumbo kifo na ufufuko wake tukapokea kwake paji la Roho Mtakatifu, tunaalikwa kukaribia mara kwa mara…
Tag: Katoliki: Ekaristi Takatifu

MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU MWILI NA DAMU YA YESU KRISTU | BIBLIA INAVYOELEZA KUHUSU EKARISTI
Yafuatayo ni maswali yatakayotuongoza kwenye mada yetu Yesu alituambia nini kuhusu Mwili wake na damu yake? Yesu alituambia hivi โBaba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa. 50Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51Mimi ni mkate wa uzima ule uliotoka mbinguni. Mtu ye yote akiula…
Mambo ya Msingi Unayopaswa kufahamu kuhusu Ekaristi Takatifu: Mwili na Damu Ya Bwana Wetu Yesu Kristu
Ekaristi ni nini? Ekaristi ni Sakramenti ya Mwili na Damu ya Yesu Kristo, katikamaumbo ya mkate na divai. Sakramenti hiiiliwekwa na Yesu Mwenyewe kwenye karamu ya mwisho, siku ya Alhamisi jioni kabla ya matesoyake. (Yoh 6:1-71; Mt 26:26-28). Maana ya jina Ekaristia Tendo la shukrani na baraka.Jina Ekaristi limetokana na neno…
Faida ya kuabudu Ekaristi Takatifu
1.Kila saa moja tunayotumia kuabudu, inafurahisha moyo wa Yesu na hivyo majina yetu huandikwa mbinguni kwa ajili ya uzima wa milele (Mama Thereza wa Calcuta) 2.Maisha ya kiroho ya familia zetu yanaimarishwa kwa njia ya saa ya kuabudu (John Paul II) 3. Saa takatifu ya kuabudu ni ya muhimu sana…
Maswali na Majibu kuhusu Kuabudu kwa Wakatoliki
Wakatoliki tunamwabudu Mungu kwa namna gani?
Tunamwabudu Mungu kwa sala , sadaka na matendo mema